Elimu Quest - Gredi ya Nne (4) - Lugha ya Kiswahili — Mawasiliano na Sarufi - Siku ya 08

  • Questions :6 Question.
  • Duration : 24 Min
Add To Cart

Instructions

Jibu maswali yote kwa ufasaha. Kila swali lina majibu maane lakini ni moja tu lililo sahihi. Chagua jibu moja lililo sahihi.

Learning Area Requirements

  • 1. Mwanafunzi awe na uwezo wa kusoma, kuandika, kuzungumza na kusikiliza kwa Kiswahili sanifu.

  • 2. Aweze kueleza mawazo kwa kutumia lugha sahihi.

  • 3. Aelewe sarufi, msamiati na matumizi sahihi ya maneno.

  • 4. Ajifunze maadili, utamaduni na desturi za jamii kupitia Kiswahili.

  • 5. Aweze kutumia Kiswahili kama chombo cha mawasiliano shuleni na nyumbani.

  • Learning Area Description

    Kiswahili ni somo la mawasiliano linalolenga kukuza ujuzi wa kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika kwa kutumia lugha ya taifa ya Kenya. Somo hili humwezesha mwanafunzi kuelewa utamaduni wa Kiswahili, kutumia lugha katika maisha ya kila siku, na kukuza maadili mema.

    Learning Area Outcomes

    Baada ya kukamilisha kiwango cha Darasa la Nne, mwanafunzi anatarajiwa:

    1. Kutumia Kiswahili sanifu kwa mawasiliano ya kila siku.

    2. Kusoma na kuelewa vifungu rahisi vya Kiswahili.

    3. Kuandika sentensi sahihi kisarufi.

    4. Kueleza mawazo kwa uwazi na heshima.

    5. Kuelewa na kuenzi maadili yanayojitokeza katika kazi za Kiswahili.

    Student Feedback

    Elimu Quest - Gredi ya Nne (4) - Lugha ya Kiswahili — Mawasiliano na Sarufi - Siku ya 08

    0

    Learning Area Rating
    0.00%
    0.00%
    0.00%
    0.00%
    0.00%

    No Review found

    Sign In or Sign Up as student to post a review

    Reviews

    Learning Area you might like

    Static
    Elimu Quest - Science - G6 - Observation, investigation, and experimentation - day 01
    0 (0 Ratings)
    Science in Grade 6 focuses on helping learners understand themselves, their environment, and how thi...
    Static
    Safaricom @ 25: Elimu Pepe Daily Trivia
    0 (0 Ratings)
    Eligibility:Open to students in Grade 4 to Grade 9.Participants must be registered on the Elimu Pepe...

    You must be enrolled to ask a question

    image